Psalms 34:1

Sifa Na Wema Wa Mungu

Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.

1 aNitamtukuza Bwana nyakati zote,
sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
Copyright information for SwhNEN